Breaking News

Your Ad Spot

Jul 12, 2013

BENDERA ATEMBELEA KIWANDA CHA KIBUKU CHA DARBREW DAR ES SALAAM


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (kulia), akizungumza alipotembelea hivi karibuni Kiwanda cha Kibuku cha Darbrew, kilichopo Ubungo Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Kirowi Suma. Kulia ni Akoli Mbilinyi ambaye ni Ofisa Rasilimali Watu wa kiwanda hicho.

 Joel Bendera (kulia) akitembelea kiwanda hicho. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho. Kirowi Suma.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kibuku cha Darbrew Limited, Kirowi Suma (kushoto), akielezea mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera kuhusu utendaji wa kiwanda hicho. Bendera alitembelea hivi karibuni kiwanda hicho kilichopo Ubungo Dar es Salaam.

 Bendera akipata maelezo kuhusu uzalishaji bora wa kinywaji cha asili cha kibuku kiwandani hapo

 Bendera akiwa ndani ya kiwanda hicho kilichopo Ubungo karibu na Kituo Kikuu cha Mabasi

 Bendera akiwa na baadhi ya viongozi wa kiwanda hicho alipotembelea kiwanda hicho

Bendera akiondoka baada ya kumaziza ziara kiwandani hapo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages