Breaking News

Your Ad Spot

Jul 18, 2013

MAMIA WAJITOKEZA MAZISHI YA DAVID MAJEBELLE

 Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa aliyekuwa mwandishi mkongwe
 Baadhi ya wanafamilia weakiwa nyumbani kwa marehemu. 
Waombolezaji.
 Mwili wa marehemu David majebelle ukiwasili nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam.
 Wanafamilia.
 Wanafamilia
 Wanafamilia.
 Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu David Majebelle likiwa nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam wakati wa ibada.
 Wanafamilia.
 Kutoa heshima za mwisho.
 Kanisani.
 Ibada ya kumuimbea marehemu David Majebelle ikiendelea kanisani.
 Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 Baadhi ya wanahabari, ndugu jamaa na marafiki wakitoa heshima za mwisho.
 Mbunge wa Ubungo John Mnyika akitoa heshima za mwisho.
 Familia ya marehemu David Majebelle.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu\ David majebelle ambaye alikuwa mwandishi wa habari mkongwe.
 Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu David Majebelle ukishushwa kaburini.
 Wanafamilia wakiwa na huzuni.
Makamu
Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula (kushoto), akiweka shada la maua
kwenye kaburi la marehemu David Michael Majebele, wakati wa mazishi yake
yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinodoni jijini Dar es Salaam jana. Marehemu
Majebele ambaye ni mwanahabari mkongwe alifariki Jumapili iliyopita. 


Familia ya marehemu David Michael Majebele, wakiweka
mashada ya maua
katika kaburi, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kwenye makaburi ya
Kinodnoni jijini Dar es Salaam jana. Marehemu Majebele ambaye ni mwanahabari
mkongwe alifariki Jumapili iliyopita. 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages