Breaking News

Your Ad Spot

Jul 28, 2013

MDAU: PROMOSHENI KAMA ZILE ZILIZOKUWA ZIKIFANYWA NA KINA BISHANGA BISHAIJA ZIMEISHIA WAPI?

Serikali  inahimiza  mashirika makampuni  wafanyabiashara  kutumia  wasanii wa nyumbani  katika  matangazo  na  promtion  mbalimbali          Pichani  anaonekana  msanii wa  kucheza  na  Nyoka  mama Salima  Moshi ( mama  nyoka)  akiwa  Promoter enzi  hizo  wa Kampuni  ya  Bia Tanzania   Akitangaza   vinywaji  vinavyozalishwa  na  TBL zikiwemo   Kilimanjaro  Ndovu    Bingwa na nyingine  nyingi  akiwa  amevaa  fulana  ya  Ndovu  ya TBL  akishirikiana  na  Wasanii  maarufu  Nchini  kwenye   Promotion  hiyo  ya  TBL   enzi  hizo   akina  Bishanga Bishaija, Rich  Rich   Waridi  kutoka kundi la mambo hayo wengine  ni ZIpompapompa, Majengo, Pangu Pakavu     Mama Shunda  Mzee Pembe, Mzee Sumaku    Wanne Star  na  kundi  lake   je? sasa  hivi  Promotion   kama  hizi  zimeishia  wapi ?    Na  je   kama zinafanyika  wasanii wanalipwa inavyostaili?

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages