Breaking News

Your Ad Spot

Jul 28, 2013

WANACHAMA WA MFUKO WA MAENDELEO YA MTANDAO WA WANAMBWEWE WAISHIO DAR ES SALAAM, WAKUTANA NA MBUNGE WAO

 MBUNGE wa Chalinze, wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani, Saidi Mwanamdogo, akizungumza na wanachama wa Mfuko wa Maendeleo ya Wanambwewe waishio Dar es Salaam (MNDF), leo katika ukumbi wa Shule ya Msingi Ali Hassani Mwinyi, mjini Dar es Salaam. Wanachama hao walimwalika kwenye kikao chao cha kujadili jinsi ya kuuendesha mfuko huo kwa manufaa ya wananchi wengi
 MBUNGE huyo akisisitiza jambo
 Mbunge wa Chalinze, Saidi Mwanamdogo akizungumza wakati wa mkutano huo.
 Katibu wa wanachama wa Mfuko wa Maendeleo ya wanamtandao wa Mbwewe waishio Dar  es Salaam, Hassani Msonde akizungumza mwanzoni mwa kikao
 Mwenyekiti wa Umoja huo, Rajabu Papa akifungua kikao hicho
 Mjumbe wa Kamati ya Umoja huo, Fatuma Kikwappe akisoma risala huku viongozi wakimsikiliza kwa makini akiwemo Mbunge Bwanamdogo
 Fatuma akiendelea kusoma risala hiyo
Kisha akaikabidhi risala hiyo kwa Mbunge wa Chalinze, Saidi Mwanamdogo
 Mbunge Saidi Mwanamdogo akiwakabidhi dola za Marekani, viongozi wa umoja huo, ikiwa ni mchango wake kwa ajili ya kufanikisha usajili.
 Mwenyekiti akimkabidi Mbunge Katiba ya Umoja
 Fatuma na mjumbe mwenzake wa Kamati katika Umoja huo wakipitia makabrasha kwa makini
 Mbunge wa Chalinze Saidi Mwanamdogo akiagana na viongozi wa Umoja huo baada ya kushiriki kikao>IMETAYARISHWA NA theNkoromo Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages