Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete leo amekutana na Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusu masuala mbalimbali ya siasa na uchumi nchini. zifuatazo ni pichani za tukio hilo Rais Kikwete akiwa na Professa Lipumba katika hatua tofauti kama zilivyopigwa na Mpiga Picha Freddy Maro wa Ikulu
Your Ad Spot
Jul 19, 2013
Home
Unlabelled
PROFESA LIPUMBA AMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU
PROFESA LIPUMBA AMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269