Kufuatia uhuru wa kuabudu kuheshimika Tanzania, wanaokula mchana katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani wanao uhuru wa kuandaa na kula bila kubughudhiwa na mtu. Pichani, Mamalishe akisonga ugali kwa ajili ya wateja wake, leo mchana, katika eneo la Manzese Darajani, jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)
Your Ad Spot
Jul 19, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269