Breaking News

Your Ad Spot

Sep 21, 2013

MSIBA KIFO CHA LILIAN NABURI

R.I.P LILIAN NABURI
Bwana Ametoa na bwana ametwaa jinalake libarikiwe
    Tuungane jumatatu kumsindikiza mpendwa wetu
Marehemu Lilian Naburi
 
Familia ya Mzee Geofrey Naburi wa Nguvumali Tanga inatangaza kifo cha Binti yao Mpendwa Lilian Naburi kilichotokea Arusha Jumatano ya tarehe 18/09/2013. Mazishi yanategemewa kufanyika Jijini Tanga siku ya Jumatatu ya tarehe 23/09/2013 katika makaburi ya Bombo.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza ukawasiliana na kaka wa marehemu
Ndugu Ben Naburi kwa namba ya simu +255 713 563003
Blog hii inaungana na familia katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.
 
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages