Breaking News

Your Ad Spot

Sep 11, 2013

UJENZI WA GHOROFA SALAMANDAR WAKWAMA, UWANJA WAFURIKA MAJI

Eneo lililokuwa jengo maarufu la Salamandar likiwa limeshindikana kujengwa ghorofa, baada ya waliotaka kujenga eneo hilo kukumbana na chemichemi ya maji. Hali inayoonekana hapa ni baada ya wajenzi hao kulazimika kujaza tena kifusi ili kuyakabili maji hayo, kama mpigapicha wa mtandao huu alivyokuta leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages