Breaking News

Your Ad Spot

Oct 18, 2013

MBUNGE MAJI MAREFU ANAPODAIWA KUSAKWA KWA WIZI WA GARI LA WAZIRI

WIKI hii ukiondoa habari za Sakata la kupigwa risasi Mwandishi wa habari wa ITV, Ufoo Saro,  kumbukumbu  ya miaka 14 ya Kifo cha Baba wa Taifa Hayati, Mwalimu Julius Nyerere,  na Sikukuu ya Eid El Hajj, Ipo habari nyingine moja iliyokuwa kubwa ingawa ilichapwa kwenye gazeti moja tu.

Stori hiyo iliyochapwa katika gazeti la Uwazi, juzi, ilimhusisha Mbunge wa Korogwe Vijijini, Profesa Maji Marefu akidaiwa kusakwa na Polisi kwa tuhuma za wizi wa gari la Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mbunge wa Mvomelo Amos Makalla.

Kutokana na stori hiyo kuonyesha kuwa ya mvuto wa aina yake kutokana na kuwa ya kijamii, huku ikisababisha maswali mengi ya kwa nini ilitokea, tunaileta tena kwenu wadau kama ilivyotayarishwa na theNkoromo Blog, ili wale ambao hawakupata fursa ya kuisoma kwenye gazeti muweze kuisoma kama ilivyo ada uwanja wa maoni kwa atakayekuwa nayo kuhusu stori hii upo wazi....






No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages