Breaking News

Your Ad Spot

Oct 1, 2013

PINDA ATUA KIGOMA LEO

 Waziri Mkuu akiwapungia wananchi wa Kigoma  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku sita  mkoani humo Oktoba 1, 2013.Kulia kwake ni mkewe Tunu na Kushoto ni Mkuu wa mkoa huo, Luteni Kanali, Issa Machibya . Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Kigoma, Dr. Walid Kaborou.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa kamati  ya Ulinzi na Usalama  ya Mkoa wa Kigoma baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku sita Oktoba 1, 2013
Wanawake  wa Kigoma wakicheza ngoma wakati  Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipowasili  kwenye uwanja  wa ndege wa Kigoma  kwa ziara ya siku sita Oktoba 1, 2013.  (Picha zote na Ofisi ya waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages