Breaking News

Your Ad Spot

Oct 21, 2013

TAKWIMU KUHUSU PATO LA TAIFA

Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi toka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Morrice Oyuke  akielezea kwa waandisi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam juu ya ukuaji wa shughuli za uchumi za kilimo zilivyokua kwa kasi ya asilimia 5.3 katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2013 ikilinganishwa na asilimia 5.1 katika kipindi kama hicho mwaka 2012. (Picha na  Eliphace  Marwa - MAELEZO): Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages