Breaking News

Your Ad Spot

Dec 24, 2013

PINDA APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda  akitazama pikipiki mbili kati ya 44 zilizotolewa msaada kwake na  Ubalozi wa China  nchini pamoja na Kampuni ya  Futang ya China katika  makabidhiano yaliyofanyika  kijijini kwake, Kibaoni wilayani Mlele Desemba  24, 2013. Wapili kulia ni  Balozi wa China nchini, Dr. Lu Youqing. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages