Breaking News

Your Ad Spot

Dec 31, 2013

RAGE AZIDI KUNG'ANG'ANIWA NA WANACHAMA ANG'OKE SIMBA

Kundi la watu waliojitambulisha kuwa ni wanachama wa Simba, wakizungumza kwenye ukumbi wa Idara ya Habari, Maelezo, Dar es Salaam., kupinga hatua ya Shirikisho la Soka Nchini TFF, kuridhia Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Aden Rage kuiendelea na uongozi. Meza kuu, kutoka kushoto ni Husein Mwaikambo kutoka Iringa, Albino Willa na Fatuma Selemani maarufu wa jina la Hindu. (Picha:theNkoromo Sports)
Baadhi ya waandishi wakiuliza maswali

Baadhi ya waandishi waliohudhuria mkutano huo wa wanachama wa Simba kutaka Rage ang'oke

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages