Breaking News

Your Ad Spot

Dec 31, 2013

RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AFUNGUA MAKAO MAKUU YA PBZ MJINI ZANZIBAR

RAIS Mstaaf wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi,akikata Utepe kuashiria kuifunga Makao Makuu ya Benki ya  PBZ Ismamic Bank ilioko katika jengo la Bima  Mpirani Zanzibar, kushoto Waziri wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Mzee na Mkurugenzi  Mtendaji PBZ Bwa Juma Amour, ikiwa ni shamrashamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages