Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya
Benki ya Azania Bw.William Erio(kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji
wa Benki hiyo Bwana Charles Singili(kulia) wakifuana kitambaa katika
jiwe la msingi kushiria kuzindua Benki ya Azania tawi la Lamadi, Mkoa
mpya wa Simiyu jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Azania Bwana William Erio(wa pili kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Azania Bwana Charles Singili(kushoto) wakikata utepe kuzindua rasmi Benki ya Azania Tawi la Lamadi jana.Kulia nia mkuu wa Mkoa wa Simiyu Pascal Mabiti(picha na Freddy Maro)
Your Ad Spot
Dec 2, 2013
Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AZINDUA BENKI SIMIYU
RAIS KIKWETE AZINDUA BENKI SIMIYU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269