Breaking News

Your Ad Spot

Dec 18, 2013

SEMINA YA VIONGOZI WA JUMUIA YA WAZAZI CCM, WILAYA YA KINONDONI YAENDELEA MOROGORO

 Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Abilah Mihewa akizungumza katika semina ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi ya CCM wilaya ya Kinondoni, alipoungana nao kwenye semina hiyo leo, mkoani Morogoro. Pamoja naye ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge na Mwenyekiti wa Wazazi Wilaya hiyo Charles Mgonja (kushoto).
 Wajumbe wakimsikiliza Mihewa
 Wajumbe wakimsikiliza Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Abilah Mihewa (hayupo pichani) alipokuwa akiwahutubia kwenye semina ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi wilaya ya Kinondoni inayoendelea mkoani Morogoro.
 Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Juma Simba aka Gadaffi, akizungumza kwenye semina hiyo.
 Mihewa (kulia) akiingia ukumbini
 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akimpongeza mgeni rasmi, Katibu wa Itukadi na Uenezi mkoa wa Morogoro, baada ya kufungua semina hiyo jana
Washiriki wa Semina wakila kiapo cha kuyashika vema mafunzo, wakati wa semina hiyo. Imetayarishwa na theNkoromo Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages