Breaking News

Your Ad Spot

Dec 26, 2013

TFF YAOMBOLEZA MSIBA WA KOCHA WA MAKIPA WA SIMBA JAMES KISAKA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeeleza kupokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya soka ya Simba, James Kisaka (57) kilichotokea, asubuhi ya Desemba 25, mwaka huu, katika Hospitali ya Burhani, Dar es Salaam.

     Taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Boniface Wambura Mgoyo imesema, msiba huo ni mkubwa katika familia ya mpira wa miguu kwa kuwa Kisaka kabla ya kuwa kocha alikuwa mchezaji katika nafasi ya kipa.
    Imesema taarifa  mbali ya Simba, timu nyingine alizowahi kudakia ni...Inaendelea>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages