Breaking News

Your Ad Spot

Jan 13, 2014

KCC YATWAA KOMBE LA MAPINDUZI BAADA YA KUICHAPA SIMBA 1-0 KATIKA MECHI YA FAINALI LEO MJINI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi Kombe la Mapinduzi Nahodha wa Timu ya KCC ya Uganda,  Kawoya Fahad, baada ya timu hiyo kuibuka bingwa katika mchezo wa fainali Kombe la Mapinduzi, baada ya kuichapa Simba bao 1-0,  kwenye Uwanja wa Amaan Mjni Zanzibar. (Picha na Ramadhan Othman Ikulu).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages