Breaking News

Your Ad Spot

Jan 15, 2014

VIDEO: MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE GEITA

Ikiwa ni muendelezo wa kukufichulia matukio ya Ukatili wa Kijinsia dhidi ya wanawake, kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa na Televisheni ya EATV kila Jumanne saa tatu kamili usiku, wiki hii kimekufichulia kisa cha mwanamke aliyekatwa mkono na mume wake huko Geita.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages