Breaking News

Your Ad Spot

Feb 14, 2014

SABMILLER AFRICA/TBL ZAISADIA ACE AFRICA KUBORESHA MAISHA YA WANANCHI ARUMERU


Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  Robin Goetzche (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Kimarekani 64,000, Mwasisi na Mkurugenzi wa Taasisi ya ACE Africa, Joanna Waddington katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya TBL, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliotolewa na TBL kwa niaba ya Kampuni ya Sabmiller Afrika ni kwa ajili ya kusaidia kuboresha ufugaji wa mbuzi, kuongeza uzalishaji wa mazao ya vyakula na sekta ya maji katika Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha.Anayeshudia makabidhiano hayo ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo.

Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo akielezea mikakati ya TBL ya kusaidia jamii hasa katika sekta ya maji.
Robin akielezea sababu ziliifanya SABMiller/TBL kuisaidia taasisi ya ACE Africa.
 Mwasisi na Mkurugenzi wa Taasisi ya ACE Africa, Joanna Waddington akitoa shukurani kwa SABMiller/TBL kupatiwa msaada huo muhimu kuboresha maisha ya jamii Arumeru. (PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages