Rais Jakaya Kikwete akiwapungia wananchi waliofurika katika Uwanja wa
Sokoine mjini Mbeya alipoingia Uwanjani huku akiwa na Mwenyekiji wake,
Katibu Mkuu wa CCM, Abdurlahman KinanaHii ndiyo CCM, Rais Jakaya Kikwete akisema, huku akionyesha alama ya CCM ya jembe na nyundo ambayo aliichukua kwa mmoja wa mashabiki wa CCM walioingia nayo Uwanjani. Picha na theNkoromo Blog>>> Picha nyingine 20 za tukio hili BOFYA HAPA


No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269