Breaking News

Your Ad Spot

Feb 8, 2014

YANGA YAINYUKA KOMORIZINE SPORTS SABA BILA

 Kiungo wa Komorozine Sports, Moidjie Ali akija akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, David Luhenda katika mchezo wa Ligi ya klabu Bingwa Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imelamba timu hiyo 7-0
 Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa akimtoka mchezaji wa timu ya Komorozine Sports Attouumane Omar wakati wamechi hiyo.
Wacheaji wa Yanga wakishangilia baada ya kuifunga timu ya Komorozine Sports katika mchezo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages