Breaking News

Your Ad Spot

Feb 21, 2014

ZIARA YA MZEE MANGULA CHINA

 Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula akisalimiana na Kada wa CCM, Suleiman Serera ambaye ni miongoni mwa makada walimlaki Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing, China, juzi
 Msafara wa Mzee Mangula kutoka Uwanja wa Ndege wa Beijing
 Mzee Mangula akiwa na Balozi wa Tanzania Nchini China Abdulrahman Shimbo
Makamu Mangula akizungumza na Mwenyeji wake aliyempokea baada ya kuwasili nchini China, Ndg. Wang Heming ambaye ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa kitengo cha Mambo ya Afrika katika Idara ya Kimataifa ya Kamati Kuu ya CPC.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
Makamu Mangula na Ujumbe wake wakiwa ktk picha ya pamoja na Makada waliopo mjini Beijing waliomtembelea ktk hoteli aliyofikia. 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages