Breaking News

Your Ad Spot

Mar 19, 2014

KINANA AKUTANA NA MJUMBE WA KAMISHENI WA CHAMA CHA FRELIMO

 Katibu Mkuu wa CCM, Kanali  Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mjumbe wa Kamisheni wa Chama cha Frelimo cha Msumbiji Jenerali  Raimundo Domingos, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu wa CCM, Kanali  Abdulrahman Kinana akizungumza na Mjumbe wa Kamisheni wa Chama cha Frelimo cha Msumbiji Jenerali  Raimundo Domingos, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Imetayarishwa na theNkoromo Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages