Breaking News

Your Ad Spot

Mar 30, 2014

KINANA ALIVYOTIKISA MWEMBEYANGA DAR ES SALAAM

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga.
 Wananchi waliohudhuria mkutano huo, uliofanyika juzi,  kumpongeza Rais
Jakaya Kikwete kwa hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuzindua Bunge Maalum la
katiba,linaloendelea mjini Dodoma.


 Kinana akionyesha kadi ya Chadema aliyokabidhiwa na Ramadhan (kushoto).
 Wananchi wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe maalumu.

 Balozi Ali Abeid Karume, akizungumza katika mkutano huo


 Mwenyekiti wa Chama cha SDF cha Cameroun, John Frundi, akizungumza katika
mkutano huo. Kushoto ni Kinana na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es
Salaam, Ramadhan Madabida.

 WANACHAMA wa CCM, wakimpongeza Kinana kutokana na juhudi zake katika
kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.

Baadhi ya wajumbe waalikwa waliohudhuria mkutano huo. Picha zote na Khamis Hamad

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages