Breaking News

Your Ad Spot

Mar 22, 2014

RIDHIWANI ACHANJA MBUNGA LEO KATIKA KATA YA FUKAYOSI KATIKA KAMPENI ZAKE ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE

 Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Kijiji cha Mkenge, Kaya ya Fukayosi .
 Ridhiwani akimsalimia Mzee Salum Khalifan baada ya mkutano wake katika kijiji cha Mkenge, Kata ya Fukayosi, leo
 Mandhari kwenye mkutano wa kampeni za CCM Kijiji cha Kidomole, Kata ya Fukayosi, leo
 Ridhiwani akiteta jambo  na kijana wa jamii wa wafugaji baada ya mkutano wake katika kijiji cha  Mkenge, kata ya Fukayosi
 Ridhiwani akisalimiana na Kina mama baada ya mkutano wake katika kijiji cha Mkenge, Kata ya Fukayosi
Dokii wa kijana Omari Seseme wa kijiji cha Kidomole, Kata ya Fukayosi
 7. vijana wakimsangilia Riz baada ya mkutano wake wa kampeni katika Kijiji cha Mkenge Kata ya Fukayosi

Othman Muchuzi wa Michuzi Media Group akizungumza na mzee wa Kijiji cha Kidomole, kaya ta Fukayosi wilayani Bagamoyo. Othman ni miongozi mwa waandishi na Bloggers walioko kwenye kampeni za Ridhiwani Kikwete kuwania jimbo la Chalinze. Picha zote na Bashir Nkoromo wa theNkoromo Blog
AHANI MISIBA NYUMBANI KWA WAPIGA KURA
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye msiba wa Zaidi muharami aliyefariki kwa ajali ya kugongwa na gari katika kata ya Fukayosi.

  Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akiondoka kwenye msiba wa Zaidi Muharami aliyefariki kwa ajali ya kugongwa na gari.
 Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia CCM, Ridhiwani Kikwete akimpa mkono wa pole Mama Renata Paschal aliyefiwa na watoto wake wawili kwa ajali ya kuzama kisimani, aliyesimama pembeni ni Baba wa watoto hao Geofrey Nestroy.

 Ridhiwani Kikwete akitoa pole kwa familia hiyo ambayo imeondokewa na watoto wawili wa familia pamoja katika kijiji cha Msinune kitongoji ya Kaloleni.
Makaburi ya watoto Redempta Geofrey  (2) na Jesca Geofrey (5) ambao wamekufa maji baada ya kutumbukia kisimani tarehe 18 na kuzikwa tarehe 19 mwezi Machi katika kijiji cha Msinune kitongoji cha  Kaloleni.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages