Breaking News

Your Ad Spot

Mar 6, 2014

SERIKALI, UNDP, PATH WAKUBALIANA NJIA BORA KUKABILIANA NA TB, MALARIA NA MAGONJWA KWENYE NCHI ZA JOTO

DSC_0773
Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila, akifungua rasmi warsha ya mradi wa upatikanaji na utekelezaji wa pamoja kati ya Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP) na Shirika la Kimataifa lisilokuwa la Kiserikali (NGO) PATH kwenye sekta ya Afya katika utumiaji na uanzishwaji wa Teknolojia mpya katika kupamba na magonjwa ya TB, Malaria na magonjwa yaliyoachwa katika nchi za joto. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkazi, Oparesheni wa UNDP, Bw. Titus Osundina.
DSC_0730
Washiriki wakifuatilia mada mbalimbali katika warsha hiyo ya siku moja ambayo ilikuwa inazungumzia mradi wa pamoja wa upatikanaji na utekelezaji kati ya UNDP na PATH jinsi ya uanzishwaji wa Teknolojia mpya katika kupamba na magonjwa ambayo yanapatikana katika nchi za joto.
DSC_0789
DSC_0732
DSC_0804
Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila akiteta jambo na Naibu Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Bw. Titus Osundina wakati wa warsha ya Upatikanaji na Utekelezaji wa pamoja katika miradi ya utathimini na mipango inayowashirikisha UNDP na PATH.
DSC_0723
Picha juu na chini ni Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila, akibadilishana mawazo na kusalimiana na baadhi ya washiriki wa warsha hiyo.
DSC_0708

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages