Breaking News

Your Ad Spot

Mar 6, 2014

TASWIRA BUNGE LA RASIMU YA KATIBA LEO

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Mansoor Hiran akiongea na wanahabari baada ya Semina ya ya uundwaji wa kanuni zitakazoongoza bunge maalum la katiba kuahirishwa leo mjini Dodoma.
 
Baadhi wa wajumbe maalum wa katiba wakibadilishana Mawazo Nje ya ukumbi wa Bunge baada ya Semina ya ya uundwaji wa kanuni zitakazoongoza bunge maalum la katiba kuahirishwa leo mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages