TBL YAKABIDHI KISIMA CHA MAJI MJI MDOGO WA TUNDUMA
| Afisa uhusiano wa Kampuni hiyo Doris Malulu amesema kampuni ya Bia ni moja kati ya Makampuni yanayoongoza kulipa kodi nchini na hivyo ina wajibu wa kurudisha fadhila kwa Watanzania. |
| Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji mdogo wa Tunduma Elias Cheyo akitoa neno la shukrani kwa TBL |
| Baadhi ya wafanyakazi na wananchi wa mji wa Tunduma wakimsikiliza mgeni rasmi |
| Diwani wa kata ya Tunduma Frank Mwakajoka akiwashukuru kampuni ya Bia TBL kwa msaada wa kisima hicho |
| Afisa mipango Mji wa Tunduma Augustino Ngetwa akisoma taarifa fupi mbele ya mgeni rasmi |
| Mkurugenzi wa Mamlaka ya mji wa Tunduma Aidan Mwanshiga wakipongezana na mwenyekiti wa Halmashauri ya mji mdogo wa Tunduma Elias Cheyo mara baada ya kukabidhiwa kisima hicho |
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269