Breaking News

Your Ad Spot

Apr 29, 2014

KIKWETE ACHAPA KAZI TATU KWA MPIGO LEO, AKUTANA NA MJUMBE WA RAIS WA BURUDI, VIONGOZI WA BARAZA LA UUGUZI NA KUZINDUA MKOBA PRIVATE EQUITY FUND

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, alipofika kuwasilisha ujumbe wa Rais huyo kwa Rais Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaa leo April 29, 2014
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Sheikh Mohamed Rukara, ujumbe  maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza,
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya kalenda kutoka kwa Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, Mama Lena Mfalila wakati alipokutana na uongozi wa baraza hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo April 29, 2014. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif S. Rashid.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja  na Viongozi wa  Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania
  Rais Dkt jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati akizindua rasmi  rasmi mpango wa Mkoba Private Equity Fund katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam leo April 29, 2014
  Rais Dkt jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati akizindua rasmi  rasmi mpango wa Mkoba Private Equity Fund katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam leo April 29, 2014
 Rais Dkt jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati akizindua rasmi  rasmi mpango wa Mkoba Private Equity Fund katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam leo April 29, 2014
 Rais Dkt jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kama alama ya kuzindua  rasmi  rasmi mpango wa Mkoba Private Equity Fund katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam leo April 29, 2014
Rais Dkt jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kama alama ya kuzindua  rasmi  rasmi mpango wa Mkoba Private Equity Fund katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam leo April 29, 2014 
Rais Dkt jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kama alama ya kuzindua  rasmi  rasmi mpango wa Mkoba Private Equity Fund katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam leo April 29, 2014. PICHA ZOTE NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages