Hafla hii imefungua Mlango Mkubwa zaidi wa Urafiki na Umoja kati ya Chama cha Mapinduzi na Chama Kinachoongoza Serikali ya Uganda cha National Resistence Movement Kutokana na Kuwekeana Malengo ya Kuendelea Kushirikiana Katika Uga wa Siasa na Nyanja zingine za Kiuchumi na Kijamii.
Picha/Maelezo na Sanga Jr
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269