Breaking News

Your Ad Spot

Jun 30, 2014

BRAVO JOB CENTRE YAPELEKA VIJANA KUMI KUFANYA KAZI DUBAI, WATANO NI WA TRIP YA KWANZA YA MADEREVA

 Mwenyekiti wa Kampuni ya Bravo Job Centre Agency, Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kulia) akimpatia  mkazi wa Zanzibar, Badrudin Alidina tiketi ya ndege  na vibali vya kwenda kufanya kazi ya udereva Dubai, Falme za Kiarabu,  katika hafla iliyofanyika Keko jijini Dar es Salaam ambapo pia wanawake watano walipatiwa tiketi na vibali vya kwenda kufanya kazi  mbalimbali Qatar Uarabuni.
Dereva,  Maneno Tamba akipokea tiketi na vibali hivyo kutoka kwa Mtemvu
 Hamud Ramadhan akipokea tiketi na vibali vya safari kwenda kufanya kazi ya udereva Dubai
Dereva Salum Rashid akikabidhiwa tiketi na vibali kwa ajili ya safari hiyo
 Dereva, Khatib Mohamed Waziri akikabidhiwa na Mtemvu  tiketi na vibali  kufanya kazi ya udereva Dubai.
 Mkazi wa Dar es Salaam, Rahma Salehe akipokea tiketi na vibali vya kwenda kufanya kazi Qatar, Falme za kiarabu
Mkazi wa Dar es Salaam, Hindu Khamis akipokea tiketi na vibali vya kwenda kufanya kazi Qatar, Falme za kiarabu

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages