Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal
akiwa na Rais mpya wa Malawi Prof. Arthur Peter Mutharika wakiwa katika
picha ya pamoja baada ya rais mpya wa Malawi kukabidhiwa madaraka leo
jijini Brantyre kwenye hoteli Sunbird. Baada ya kukutana viongozi hao
walipata fursa ya kuzungumzia masuala la kidiplomasia baina ya nchi hizi
mbili na kukubaliana kuendelea kuwa na mahusiano mema kama nchi
zinazoishi ndugu na jirani. Picha kwa Hisani ya Ikulu ya Malawi
Your Ad Spot
Jun 3, 2014
Home
Unlabelled
DK. BILAL BEGA KWA BEGA NA RAIS MPYA WA MALAWI PROF. ARTHUR PETER MUTHARIKA
DK. BILAL BEGA KWA BEGA NA RAIS MPYA WA MALAWI PROF. ARTHUR PETER MUTHARIKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269