Mchana
wa June 02 ndiyo yamefanyika mazishi ya mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma
Kaskazini Zitto Kabwe Bi.Shida Salum ambaye alifariki jana Mei 01 Jijini
Dar es salaam kisha akasafirishwa kwa ajili ya kwenda kuzikwa Kigoma.Mazishi yamefanyika saa 9 alasiri Huko Kigoma.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269