|
Meya wa Ilala na Mjumbe NEC wa CCM,Jerry Slaa hajazungumza na wakazi wa
kawe baada ya kufungua tawi la wakereketwa la washashi kawe ukwamani na badae kuwasimika makamanda wa Vijana
|
| Jerry Slaa akisalimiana na mjumbe wa chama cha mapinduzi Halid |
| Jerry Slaa akiwa ameongozana na viongozi wandamizi wa Chama cha Mapinduzi Kawe, Machage(kulia) na mwenyekiti wa Vijana kata ya Kawe, Da.Lilian Mkotani na Said Herry aka Mbuguzi |
| Mlaponi akiunguruma na kuwapasha ukawa kama mke aliyetoka kwa mume |
| Katibu wa vijana wa ccm Kawe Aisha Katundu akiwataka vijana wa Kawe kulirudisha jimbo lao mikononi mwa ccm walilomwazima kwa muda Mbunge wa Halima Mdee. |
| Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Kawe Lilian Mkotani akiwataka wakazi wa Kawe wasipepese macho mwakani wakati wa uchaguzi |
| Jerry Slaa akimsimika Joe Anea Joseph kuwa kamanda wa vijana Tawi la Kawe Kilimahewa |
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269