Breaking News

Your Ad Spot

Jun 1, 2014

serengeti breweries yazindua kilaji kipya cha platinum


 Wadau wakifurahia uzinduzi wa kilaji kipya cha Serengeti Platinum katika kiota cha maraha cha Escape 1 Mikocheni Mlalakuwa jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo
 Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL),Ephraim Mafuru (kulia) akiungana na wadau kukaribisha kilaji hicho kipya
 Fashifashi za uzinduzi wa kilaji kipya. Chupa hiyo ilishushwa na helikopta 
 Vijana wa THT wakinogesha hafla hiyo
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL),Ephraim Mafuru na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo  Allan Chonjo wakisherehekea ujio wa Platinum

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages