Breaking News

Your Ad Spot

Jul 1, 2014

UZINDUZI RASMI WA FARIDAS FOUNDATION WAFANA

Mkurugenzi  Farida A. Sekimonyo wa Faridas Foundation Akiomba Sala ya  Uzinduzi Rasmi wa Foundation
 Mshehereshaji wa Shughuli ya uziinduzi wa Faridas Foundation Taji Liundi
 Elias Masaki katibu mkuu 'CHAWATA' na pia Mweka Hazina Shirikisho la watu wenye ulemavu akichangia  mawazo kuhusiana na jinsi Farida Foundation Inavyofanya kazi zake kwa Jamii
 Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia maada mbalimbali zilizokuwa zikiendelea katika uzinduzi wa Faridas Foundation
Kassim  Kibwe Katibu wa "SHIVYAWATA" Temeke na Mwenyekiti wa Albino  akichangia maada Iliyokuwa ikiendelea katika uzinduzi wa Faridas foundation
Wageni waalikwa wakifuatilia kwa umakini Uzinduzi wa Faridas Foundation
Afisa Miradi wa Faridas Foundation Bw.Lumanus  akijadiliana Jambo Na Mkurugenzi Wa Faridas Foundation Bi Farida A.Sekimonyo
 Wasanii walemavu wajulikanao kama Mabaga Fresh waliojitokeza kutumbuiza kwenye uzinduzi wa Faridas Foundation wakifurahia mada zilizokuwa zinatolewa
 Kikundi  cha Mabaga Fresh Wakitoa Burudani kwenye uzinduzi wa Faridas Foundation
 Mkurugenzi wa Faridas Foundation Akimkabidhi zawadi ya pointer  Mshehereshaji wa Shughuli hiyo Bw.Taji Liundi
 Afisa Miradi wa Faridas Foundation akikabidhiwa cheti cha Uadilifu na Mkurugenzi wa Foundation hiyo
Mkurugenzi wa Faridas Foundation(kulia) Akiwakabidhi cheti cha  Ushirikiano wawakilishi wa Global Publisher
 Mwakilishi wa mtandao wa Dj Sek Blog akipokea Bw.Geofrey Adroph Cheti Kwaniaba ya Mkurugenzi wa mtandao huo


 Keki ya maalumu iliyoandaliwa kwa ajili ya uzinduzi wa Faridas Foundation
 Mkurugenzi wa Faridas Foundation Bi Farida A,Sekimonyo akimlisha keki mama yake mzazi kwa niaba ya wageni wote walioalikwa kwenye uzinduzi huo
Shampeni ikiandaliwa kufunguliwa
 Shampeni ikiwa imefunguliwa kwa ajili ya uzinduzi Wa Faridas Fondation
 Wakigonga glass kiitakia Heri Faridas Foundation
 Mshehereshaji wa Uzinduzi wa Faridas Foundation akipiga mnada picha kwa ajili ya kuchangia mfuko wa Foundation
  Mshehereshaji wa Uzinduzi  akipiga mnada fulana yenye nembo ya Faridas Foundation kwa ajili ya kuchangia mfuko wa Foundation
 Mmoja ya wageni akichangia Kiasi cha pesa katika mnada wa picha iliyokiuwa ikizungushwa katika ukumbi huo
Burudani ikitolewa ndani ya ukumbi katika kupamba uzinduzi wa Faridas Foundation
Mmoja wa wafanyakazi wa Faridas Foundation akifurahia Burudani zilizokuwa zikitolew ndani ya ukumbi katika uzinduzi Rasmi

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages