Breaking News

Your Ad Spot

Jul 1, 2014

PINDA, MZEE MKAPA NA LOWASSA WAHUDHURIA JUBILEI YA MIAKA 25 YA MHASHAMU NGALALEKUMITWA, IRINGA

 Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri Mkuu wa zamani, Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa wakati wa Sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa, Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa,iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la KatoliniMjini Iringa.
 Waziri Mkuu wa zamani, Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akijadiliana jambo na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamin Mkapawakati wa Sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa, Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa,iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa.
 
 Waziri Mkuu wa zamani  na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa wakati wa Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wake,iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa.
 Waziri Mkuu wa zamani, Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono kwa kuwasalimia waumini waliofika kwenye Sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa, Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages