Breaking News

Your Ad Spot

Aug 24, 2014

MWIGULU ASAIDIA MAJERUHI AJALI YA ROLI MIKUMI

Mwigulu Nchemba akizungumza na Kondakta wa gali lililopata ajali mara baada ya kumnasua kwenye roli hilo.Kijana anaonekana kuugulia maumivu makali kwenye mkono.Mwigulu Nchemba akiangalia sehemu aliyokuwa amebanwa kondakta wakati roli hilo likianguka na baadae kuinuka kutokana na kugonga Ukuta pembezoni mwa Barabara ya Iringa-Morogoro.Mh:Mwigulu Nchemba akitoka huduma ya Kwanza kwa Majeruhi wa ajali hiyo.Huyu ni Dreva akijaribu kuwasha Gari hilo.Mh:Mwigulu Nchemba akiendelea kutoa huduma ya kwanza kwa Majeruhi kabla  ya kumkimbiza kwenda hospitali ya WIlaya ya Mikumi. MAELEZO NA PICHA NA FESTO SANGA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages