Breaking News

Your Ad Spot

Sep 5, 2014

AJALI YAUA WATU ZAIDI YA 30 MKOANI MARA





 Mahututi wakikimbizwa wodini



wanainchi wakiwa kwenye simanzi
Watu wakitambua miili ya marehemu
Basi la Mwanza coach limepata ajali eneo la sabasaba likiwa njiani kuelekea mwanza na kuua watu zaidi ya 30 na majeruhi wengi,Taarifa kamili inakujia punde kaa nasi.Picha na Shomari Binda

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages