Breaking News

Your Ad Spot

Sep 3, 2014

MAGAZETINI LEO SEPTEMBA 3, 2014

1_b0480.jpg
2_d5879.jpg
3_9f847.jpg
4_96d7f.jpg
5_e5669.jpg
6_43627.jpg
7_a1358.jpg
10_bc0f9.jpg
20_7965d.jpg
21_4a1ca.jpg
22_1bbcf.jpg
23_1bf2d.jpg
24_1bd76.jpg
25_9f4b5.jpg
26_53d87.jpg
27_9aac9.jpg
28_93e28.jpg
29_f494d.jpg
30_995a3.jpg
31_1f9a1.jpg
32_5ad0e.jpg
33_50e5f.jpg
34_085ef.jpg
35_1400c.jpg
36_0984c.jpg
37_3a9bf.jpg
50_2e57e.jpg
51_04736.jpg
52_5fd5c.jpg

RAIS DK. SHEIN AKUTANA NA MARAIS

IMG_2875Waziri wa nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Bibi Fatma Fereji akiwa mwenyekiti katika sehemu moja ya Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Nchi za Visiwa unaoendelea katika jengo ya Ukumbi wa Apia nchini Samoa,(kulia) Kaimu Sekretary (UN)  Bibi Erner Herity na (kushoto)Marrio Barthelemy  Mkurugenzi wa Uchumi na Mambo ya Kijamii,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_2915Wajumbe wa Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Nchi za Visiwa wakiwa katika ukumbi  wa jengo la Apia wakati michango mbali mbali ikitolea jana na Vingozi wa Nchi zilizoshiriki mkutano huo, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_2954Rais wa Serikali ya Visiwa vya Comoro Ikililou Dhoinine akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein   walipokutana kwa mazungumzo jana wakati vikao mbali mbali vya Mkutano wa Nchi za Visiwa ukiendelea katika Mji wa Samoa katika ukumbi wa Mikutano wa Apia,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_2958Rais wa Serikali ya Visiwa vya Comoro Ikililou Dhoinine akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein   walipokutana jana wakati vikao mbali mbali vya Mkutano wa Nchi za Visiwa ukiendelea katika Mji wa Samoa katika ukumbi wa Mikutano wa Apia,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_2971Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Rais wa Seychels James Michel  walipokutana kwa mazungumzo jana wakati vikao mbali mbali vya Mkutano wa Nchi za Visiwa ukiendelea katika Mji wa Samoa katika ukumbi wa Mikutano wa Apia,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages