Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akizungumza na Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari (hawapo
pichani) wakati alipokutana nao nyumbani kwake jijini Dar es Salaam jana
kwa mazungumzo. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiagana na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri, Deodatus
Balile na Mhariri wake, Jackton Manyerere (kulia) mara baada ya
kumalizika mazungumzo na Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya habari
yaliyofanyika kwenye Makazi ya Mhe Makamu wa Rais Oysterbay, jijini Dar
es Salaam, usiku Novemba 14, 2014. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiagana na Wahariri wa Gazeti la Mwananchi mara baada ya
kumalizika mazungumzo na Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya habari
yaliyofanyika kwenye Makazi ya Mhe Makamu wa Rais Oysterbay, jijini Dar
es Salaam, usiku Novemba 14, 2014. Picha na OMR
Mhariri wa gazeti la Jamhuri, Jackton Manyerere, akichangia mada wakati
wa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt. Mohammed Gharib Bilal, yaliyofanyika nyumbani kwake Oysterbay
jijini Dar es Salaam, Novemba 14, 2014. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Wahariri hao baada ya mazungumzo.
Picha na OMR
Your Ad Spot
Nov 15, 2014
Home
Unlabelled
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR ES SALAAM
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269