Breaking News

Your Ad Spot

Dec 27, 2014

TAMASHA LA KRISMAS LAACHA HISTORIA MJINI IRINGA LICHA YA MVUA KUBWA

1Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akimtunza Mwimbaji wa muziki wa Injili kutoka nchini DRC Congo wakati akiima kwenye tamasha la Krismasi lililofamyika kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa na kushirikisha waimbaji mbalimbali wa muziki wa injili wakiwemo Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, Bony Mwaiteje, Faraja Ntaboba kutoka DRC Congo, Solomon Mukubwa, Edson Mwasabwite Joshua Mlelwa, Ambwene Mwasongwe, Tumaini Njole, Emmanuel Mgogo na wengine wengi, hata hivyo mvua kubwa iliyonyesha mkoani Iringa imewafanya mashabiki wengi kutojitokeza katika tamasha hilo, Kundi zima la wanamuziki hao limekonga nyoyo za mashabiki mjini Iringa na linatarajiwa kuondoka kesho kuelekea Songea mkoani Ruvuma ambapo tamasha kama hilo litafanyika Desemba 29 kwenye uwanja wa majimaji.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-IRINGA) 2Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akicheza wakati mwimbaji Faraja Ntaboba akiimba kushoto ni mwimbaji Upendo Kilahiro akishiriki kucheza. 4Mwimbaji Edson Mwasabwite akiimba mbele ya mashabiki wake katika tamasha la Krismas kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 5Mwimbaji Edson Mwasabwite akiimba mbele ya mashabiki wake katika tamasha la Krismas kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 6Tumaini Njole na kundi lake wakitumbuiza kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 7Tumaini Njole akitumbuiza kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 8Baadhi ya mashabiki wakicheza muziki wakati wa tamasha hilo. 9Mwibaji Upendo Kilahiro akiimba jukwaani. 10Mwibaji Upendo Kilahiro akiimba jukwaani. 11Emmanuel Mgogo akifanya vitu vyake. 12Martha Mwaipaja akiimba kulia ni mwibaji Bony Mwapiteje. 13Mwibaji Joshua Mlelwa akionyesha uwezo wake jukwaani. 14Alex Msama kushoto akiwa na John Melele 15Waimbaji Ambwene Mwasongwe na Solomon Mkukubwa wakiongoza waimbaji wenzao jukwaani wakati alipokuwa wakiimba kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 16Upendo Nkone akiimba mbele ya mashabiki wake
.17
Upendo Nkone kulia na Tumaini Njole wakicheza jukwaani.
19Mwimbaji Bony Mwaiteje akifanya vitu vyake jukwaani

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages