Breaking News

Your Ad Spot

Dec 26, 2014

TAMASHA LA WAFALME: DIAMOND, MZEE YUSUF WAWEKA HISTORIA DAR LIVE




Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo.

Diamond akiwachombeza mashabiki.

Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live.

Diamond akiwa kwenye jukwaa la kupanda na kushuka.

Mfalme Mzee Yusuf on da stage.

Mfalme akiwapa 5 mashabiki wake waliofurika Dar Live.

Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki kwa ngoma zake kali.

Nyomi ikiwa imedata na shoo kali kutoka kwa Mzee Yusuf.
Mzee Yusuf akicharaza gitaa.

Diamond akicheza sebene ndani ya Dar Live.

Platnumz akizidi kufanya yake stejini.

Diamond akimtambulisha kwa mashabiki mshindi wa zaidi ya milioni 500 za Big Brother Hotshots, Idris Sultan.

Diamond na Idris wakifanya yao stejini.

Idris Sultan akimtambulisha kwa mashabiki wa Dar Live mshikaji wake aliyekuwa naye kwenye mjengo wa BBA, Samantha wa Afrika Kusini.

Diamond akichana mistari ya wimbo wa Muziki Gani na mshikaji aliyepanda stejini kumwakilisha Nay wa Mitego.

Baada ya mshikaji huyo kufanya makamuzi ya hatari, Diamond aliamua kumpatia shilingi 50,000.

Diamond akizidi kuwapa raha mashabiki wake wa Dar Live.

Nyomi ya kutisha ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.

Diamond akifanya makamuzi na dansa wake.

Dansa wa Diamond akionyesha umahiri wake stejini.

...Sebene time.

Diamond akilitawala jukwaa kwa sarakasi.

NIMEMALIZA: Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki wake waliofurika Dar Live na wao kuridhika aliamua kupozi nao kwa picha hii.

Ijumaa Sexiest Bachelor anayemaliza muda wake, Yusuf Mlela akiwasalimia mashabiki.

Diamond akisalimia na msanii wa filamu, Yusuf Mlela baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la Ijumaa Sexiest Bachelor. Taji hilo alikuwa nalo Mlela.

Diamond akipokea tuzo ya Ijumaa Sexiest Bachelor kutoka kwa Mkurugenzi wa Kijumosi Traders Ltd, Mohammed Mustapha.

Mhariri wa Gazeti la Ijumaa waandaaji wa shindano hilo, Amran Kaima akimkabidhi Ijumaa Sexiest Bachelor 2014/15, Diamond Platnumz cheti.

Ijumaa Sexiest Bachelor 2014/15, Diamond Platnumz akipozi na tuzo yake pamoja na cheti.

Mzee Yusuf akikandamiza kinanda wakati wa shoo yake Dar Live.

Mzee Yusuf na vijana wake wakifanya yao stejini.

Mzee Yusuf akionyesha ujuzi wa kucharaza gitaa chini kwa chini.

Mashabiki baada ya kupagawa na shoo ya Mzee Yusuf.
MFALME wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa Krismasi amewadhihirishia mashabiki wake kuwa ni mfalme baada ya kufanya makamuzi ya hatari katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar kwenye Tamasha la Wafalmelililodhaminiwa na VODACOM pamoja na COCACOLA. Staa huyo aligonga ngoma zake zote na kuzikonga vilivyo nyoyo za mashabiki waliofurika katika uwanja huo wa burudani. M(PICHA ZOTE NA MUSA MATEJA / GPL)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages