Breaking News

Your Ad Spot

Feb 27, 2015

ALEX MSAMA ALIPIA ADA ZA WATOTO YATIMA KATIKA VITUO MBALIMBALI NCHINI

1Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakati alipotangaza kuhusu malipo mbalimbali yaliyotolewa kwa vituo vya watoto yatima kwa ajili ya kulipia karo za wanafunzi wanaosoma katika shule mbalimbali nchini, Msama ameyasema hayo wakati akizunguzia maandalizi ya sherehe zakutimiza miaka 15 kwa Tamasha la Pasaka zinazotarajiwa kufanyika Aprili 7 mwaka huu jijini Dar es salaam na kushirikisha waimbaji mbalimbali wa muziki wa injili kutoka Tanzania na mataifa mbalimbali Kusini mwa Afrika, Ukanda wa Maziwa Makuu na Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja  na Ulaya kutoka kule nchini Uingereza wanaotarajiwa kutoa burudani katika tamasha hilo litakaloshirikisha michezo mbalimbali pia, Kushoto ni Bw. Khamis Pembe mmoja wa waratibu wa tamasha hilo. (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM) 2Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akisisitia jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano huo. 3 
Baadhi ya waandishi wa habari wakichukua taarifa na taswira za picha  wakati wa mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages