Balozi wa Promosheni ya JayMillions aendelea kumwaga pesa kwa washindi
Balozi wa promosheni ya
Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hillary Daud ‘Zembwela’akimkabidhi
kitita cha shilingi Milioni 1/-mshindi kupitia promosheni hiyo Claudia Mapunda(kulia) katika
hafla fupi iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Ili mteja
kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au AUTO kwenda namba 15544.
Balozi wa promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom
Tanzania Hillary Daud ‘Zembwela’akisalimiana na wateja wa Vodacom Tanzania walifika
kupata huduma mbalimbali katika duka la kampuni
hiyo lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumkabidhi kitita
cha shilingi milioni 1 mmoja wa washindi
wa Promosheni hiyo Claudia Mapunda(hayupo pichani)
Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 1/= kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom
Tanzania Bi. Claudia Mapunda (kulia) akifurahia kwa kuonesha kitita chake cha
fedha alizoshinda baada ya kukabidhiwa na Balozi wa promosheni hiyo Hillary Daud ‘Zembwela’(kusho)
anaeshuhudia katikati ni mpambe wa Balozi
huyo Maria John.Hafla hiyo ya makabidhiano ilifanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa
wiki.
Balozi
wa promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa
na Vodacom Tanzania Hillary Daud ‘Zembwela’na Claudia
Mapunda(kulia)ambaye
aliibuka mshindi wa kitita cha shilingi milioni 1/-kupitia promosheni
hiyo wakihesabu
fesha hizo kabla ya Balozi huyo kumkabidhi rasmi kitita chake katika
hafla
iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Ili
mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au AUTO kwenda
namba 15544.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269