Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt.
Shukuru Kawambwa (kushoto), akimsikiliza
kwa makini Katibu Mtendaji wa Baraza la
Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), Dkt. Primus Nkwela wakati alipokuwa akimfafanulia jambo alipokuwa
mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa jengo
jipya la Mitihani lililopo makao makuu ya ofisi hiyo Mikocheni jijini Dar es
Salaam mwishoni mwa wiki.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt. Primus Nkwela ( aliyesimama)
akifafanua jambo mgeni rasmi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto) wakati hafla ya uzinduzi wa jengo
jipya la Mitihani lililopo makao makuu ya ofisi hiyo Mikocheni jijini Dar es
Salaam,mwishoni mwa wiki.Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Consolata
Mgimba.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa (katikati) akikata
utepe kuashiria uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu
ya Ufundi (NACTE) kutoka kushoto ni
Katibu Mtendaji wa (NACTE) Dkt. Primus Nkwela,Kamishina wa Elimu Profesa
Uestella Bhalalusesa, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara wa wizara hiyo Consolata
Mgimba na Mwenyekiti wa barabaza la
Taifa la Elimu ya Ufundi Mhandisi Steven
Mlote.Hafla hiyo ya Uzinduzi ilifanyika katika makao makuu ya ofisi hizo
Mikocheni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa (katikati) akikata
utepe kuashiria uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu
ya Ufundi (NACTE) kutoka kushoto ni
Katibu Mtendaji wa (NACTE) Dkt. Primus Nkwela,Kamishina wa Elimu Profesa
Uestella Bhalalusesa,Naibu Katibu Mkuu wa Wizara wa wizara hiyo Consolata
Mgimba na Mwenyekiti wa barabaza la
Taifa la Elimu ya Ufundi Mhandisi Steven
Mlote.Hafla hiyo ya Uzinduzi ilifanyika katika makao makuu ya ofisi hizo
Mikocheni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt.
Shukuru Kawambwa (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Consolata Mgimba
wakizinduzi jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya
Ufundi(NACTE) uzinduzi huo ulifanyika makao makuu ya NACTE Mikocheni jijini Dar es
Salaam mwishoni mwa wiki.
Katibu
Mkuu waWizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Sifuni Mchome akinongonezwa jambo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa
la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela
wakati wa hafla ya uzinduzi wa
jengo jipya la Mitihani uliofanyika makao makuu ya ofisi hizo Mikocheni jijini
Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa (katikati) na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Elimu ya
Ufundi, Mhandisi Steven Mlote wakimsikiliza
kwa makini Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt.Primus Nkwela wakati alipokuwa
akisoma lisala wakati wa hafla ya
uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya
Ufundi(NACTE) uliofanyika Mikocheni B
jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya
Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela,
akisikilizwa jambo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto) na wadau wengine
wa elimu wakati alipokuwa akielezea jinsi
walivyofanikiwa kujenga jengo hilo jengo hilo wakati wa uzinduzi wa jengo hilo jipya
la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi(NACTE) uliofanyika Mikocheni B jijini Dar es Salaam
mwishoni mwa wiki.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt.
Shukuru Kawambwa (katikati) akimshukuru Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Elimu
ya Ufundi, Mhandisi Steven Mlote baada ya kumkabidhi zawadi katika
hafla ya uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu
ya Ufundi(NACTE) uliofanyika Mikocheni B
jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo
Dkt. Primus Nkwela.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt.
Shukuru Kawambwa akionesha cheti halali cha matumizi ya jengo jipya
alilolizindua la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi(NACTE) lililopo
makao makuu ya Baraza hilo Mikocheni B jijini Dar es Salaam. Wakishuhudia
kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt.Primus Nkwela na Mwenyekiti wa
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi,
Mhandisi Steven Mlote.
Katibu
Mkuu waWizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome (kulia) akisikilizwa kwa makini na Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto ) na Katibu Mtendaji wa Baraza la
Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt. Primus Nkwela (katikati)alipokuwa akifafanulia
jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa
jengo jipya la Mitihani lililopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam mwishoni mwa
wiki.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269