Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fenella Mukangara
akizungumza na Wanahabari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa
Ushirikiano baina ya ESAMI NA Wizara ya, Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo katika sekta ya Maendeleo ya Vijana.Hafla hiyo imefanyika jijini
Dar es Salaam.
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fenella Mukanagara
akifurahia jambo (katikati) akifurahia jambo mara baada ya uzinduzi wa
mpango wa ushirikiano baina ya ESAMI NA Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo katikasekta ya Maendeleo ya Vijana na kuwajengea
uwezo watumishi wa Wizara hiyo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene akizungumza na Wanahabari kuhusu tatizo la ajira kwa vijana nchini.
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fenella Mukangara watatu
kutoka kulia aliyekaa akiwa katika picha ya pamoja na watumishi kutoka
Taasisi ya ESAMI mara baada ya uzinduzi wa mpango wa ushirikiano baina
ya Taasisi hizo mbili.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269