Mchungaji Chedie Lwiza ambaye ni msaidizi wa Dr. Alex Malasusa Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT Dayosisi
ya Mashariki na Pwani akikabidhi madawati kwa Mwakilishi wa Mkuu wa
wilaya ya Mkuranga Bw.Benjamin Majoye yaliyotolewa na Benki ya Maendeleo
na Kampuni ya FIFA Flow Traiding Company Limited ya jijini Dar es
salaam pamoja na vifaa mbalimbali zikiwemo sare za shule, madaftari na
viatu kutokana na msaada mkubwa wa kipindi cha “Jicho letu Mkuranga”
kinachorushwa kila siku na kituo cha Redio cha Upendo Media cha jijini
Dar es salaam kwa kuibua changamoto hizo na kuhamasisha taasisi na
wananchi mbalimbali wenye uwezo kusaidia jamii masikini na zenye
mahitaji muhimu, katika picha wa pili kutoka kulia ni Frank Mbando
Mkurugenzi wa Kampuni ya FIFA Flow na katikati ni Ibrahim Mwangalaba
Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo PLCMchungaji
Chedie Lwiza ambaye ni msaidizi wa Dr. Alex Malasusa Askofu mkuu wa
Dayosisi ya Mashariki na Pwani Kanisa la KKKT akikabidhi sare za shule
kwa Mwakilishi wa Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Bw.Benjamin Majoye
zililzotolewa na Benki ya Maendeleo na Kampuni ya FIFA Flow Traiding
Company Limited ya jijini Dar es salaam
Ibrahim Mwangalaba Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo PLC
akitoa shukurani zake kwa wageni mbalimbali mara baada ya kukabidhi
madawati na vifaa mbalimbali vya shule kwa mkuu wa wilaya ya Mkuranga.
Nang’ida
Johanes Lairumbe Mkurugenzi wa Upendo Media akitoa utambulisho kwa
viongozi mbalimbali waliofika katika hafla hiyo ya makabidhiano
iliyofanyika katika jengo la Luther House jijini Dar es salaam, Kutoka
kulia ni Frank Mbando Mkurugenzi wa Kampuni ya FIFA Flow Traidinga, Mchungaji Chedie Lwiza ambaye ni msaidizi wa Dr. Alex Malasusa Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani na Ibrahim Mwangalaba Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo . Mchungaji Chedie Lwiza ambaye ni msaidizi wa Dr. Alex Malasusa Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani
akitoa shukurani zake kwa Benki ya Maendeleo na Kampuni ya FIFA Flow
Traiding kwa msaada wa madawati na vifaa mbalimbali vya shule
walivyovitoa kwa wilaya ya Mkuranga.
Picha ya pamoja viongozi hao wakiwa wamekaa kwenye madawati yaliyokabidhiwa kwa wilaya ya Mkuranga.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269