Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers
Network na mmiliki wa Blog ya The Habari.com Joachim Mushi (katikati)
akizungumza wakati wa mkutano na waandishi. Kutoka kushoto ni Mkala
Fundikira,Shafia Mpanja wa AM,Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale na
Khadija Kalili.
Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale akifafanua jambo wakati wa mkutano.
Mmiliki wa Blog ya Bongoweekeend Khadija Kalili akizungumza wakati wa mkutano.
Father Kidevu (kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano.
Baadhi ya Bloggers na waandishi wa
vyombo mbalimbali vya Habari wakifuatilia jambo wakati wa mkutano
uliofanyika katika Ofisi za Idara ya Habari Maelezo Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269